Saturday, January 10, 2015

Extended Service ya kwanza katika mwaka 2015 yafana

Praise and worship team ya casfeta-tayomi. MZUMBE chuo kikuu..wakimtukuza MUNGU, katika ibada ya extend service ilIyo fanyika mnamo tarehe 10/01/2014 katika kanisa la Mzumbe Christian Center(TAG-MCC),
hapo chini ni dada Happy George akiongoza ibada ya kusifu na kuabudu.




Kaka Senje akipiga drum katika ibada hiyo


waimbaji waki mtukuza MUNGU

Dada Aneth, akimtukuza MUNGU katika ibada ya extended serviceo









Waimbaji binafsi Kaka Imani na Dada Caroline waki mtukuza MUNGU kwa pamoja

Brother Imani, aki mwazimisha na kumwabudu BWANA



                              Dada Caroline akimtukuza Mungu kwa matendo yake makuu

kaka David Meza aki msifu Mungu kwa kinanda


                                      Sehemu ya watu walio hudhuria jatika ibada hiyo


                                       
                                     Sehemu ya watu walio hudhuria katika ibada hiyo
              





Wednesday, January 7, 2015

wana casfeta-tayomi wa mzumbe chuo kikuu, wafundishwa semina ya mahusiano

Rev: Denis  wa kanisa la EAGT-chamwino MORORGORO....akifundisha semina ya mahusiano, jinsi gani ya kumpata mwenzi mwema wa maisha.

Watumishi wa Mungu, wakifuatilia semina ya mahusiano kwa makini kabisa...

 Kaka Goodluck Mgimba, kiongozi wa mahusiano, Casfeta-tayomi, tawi la mzumbe chuo kikuu akichangia mada katika semina hiyo



Ev. Noel Kulian akichangia jambo katika semina ya mahusiano iliyo fanyika mnamo
 Mwenyekiti wa Casfeta-Tayomi, Br. Samweli Kazimili akisoma maswali yalio ulizwa juu ya namna gani inafaa kumpata mwenzi sahihi wa maisha, kwa utakatifu wa kweli
kiongozi wa kusifu na kuabudu, dada Happy George, akichangia jambo katika semina ya mahusiano



Ev. Beatrice Chua, akichangia hoja, katika semina ya mahusiano