Tuesday, March 3, 2015

DAY.2-OUTREACH-MISSION AT MAKUYUNI, KOROGWE-TANGA

KIPINDI CHA KUMSIFU MUNGU NA KUMTUKUZA KATIKA SIKU YA PILI YA MKUTANO






Wainjilisti LILIAN Kulia na BEATRICE kushoto, wakimsindikiza, muinjilisti wa siku ya pili, Ev. GROLY UHAGILE katikati


                                 Ev. GROLY UHAGILE akihudumu
                                Ev. Groly Uhagile akiachilia Gombo katika viwanja vya makuyuni-korogwe TANGA



 watu walimkiri Yesu Kristo, kuwa BWANA NA MWOKOZI WAO, SIKU YA 2 ya mkutano


 watu wakihudumiwa na wahudumu wanafunzi kutoka CASFETA-TAYOMI mzumbe chuo kikuu makuyuni soko la zamani, wilayani Korogwe-Tanga, february 2015


1 comment:

  1. hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake, wawili watampinga (Mhubir 4:12). hii ya makuyuni ni zaidi ya wawili(waliookoka) shetani sio kapingwa ila kafukuzwa kabisa. bendera ya Yesu imesimamishwa.

    ............chekecheo inakuja chekecheo yake Yesu wenye dini bila wataingia jehanamu..........................

    ReplyDelete