Wednesday, February 25, 2015

DAY.1 AT MAKUYUNI OUTREACH-MISSION

JUMAPILI YA TAR.15/2/2015...Tulishiriki ibada katika kanisa la makuyuni-ebenezer(T.A.G), na kuhudumu

katika uwanja wa makuyuni soko la zamani, jion ya tar.15/2/2015, team ya kusifu na kuabudu
wakihudumu katika mkutano, ikiwa ni siku ya kwanza ya mkutano

IT-bench wakichukua kumbukumbu muhimu za huduma

watumishi wakimsifu Mungu kwa vuvuzela na kupandisha bendera juu
,baada ya ngome kuanguka
 ile team ya vuvuzela, wakimtukuza MUNGU

 kaka Paul Shila, na Noel Kulian wakiongoza vuvuzela team
 ni wakati wa bendera ya YESU kupepea
 kaka Allan katikati, dada Jeska kushoto, na kaka Samwel kulia, waki cheza steps kwenye mkutano
 Ilikuwa ni shamrashamra kila mahali, sifa za BWANA zilivuma kwa kweli
 Dada Lightness akisifu kwa  VuVuzela
 VuVuzela team, zamu hii ikiongizwa na kiongoz mahili Dada Jeska.


baadhi ya umati wa watu walioshiriki katika mkutano huo

Ev.LILIAN MWAIPELA, Akihubiri siku ya kwanza ya mkutano






 Ev.Lilian Mwaipela


watu wakihudumiwa, waliokoka siku ya kwanza ya mkutano

No comments:

Post a Comment