Monday, May 25, 2015

THE CHOSEN GENERATION PRAISE AND WORSHIP CONCERT AT LUMUMBA COMPLEX MU

Matukio Mbalimbali katika Picha kuhusu tamasha la kusifu na kuabudu  lililo fanyika tarehe 22/5/2015 Lumumba complex mzumbe chuo kikuu.


 Mwalimu wa timu ya kusifu na kuabudu, Kaka Sharoni akiiingiza timu yake uwanjani

mpiga dramu akimsifu Mungu

mpiga besi gitaa Bro. Hafsidi akimtukuza Mungu

Kaka David  Meza kulia na Kaka Erick Kanju kushoto wakimtukuza Mungu kwa kinanda na piano
 Kaka Calvin Ponda akimtukuza Mungu kwa Ngoma(malumba)






Sauti ya tatu wakiigia ukumbini
 Sauti ya pili wakiingia ukumbini
 Sauti ya kwanza wakiingia ukumbini
 Kiongozi wa sifa No.1 dada Groly Uhagile akiongoza sifa



 Kiomgozi wa sifa No.3 kaka Joseph Mnembuka akiongoza sifa




 Kiongozi wa sifa No.4 dada Sophia Godfrey akiongoza sifa

Kiongozi wa sifa No.2 kaka Nathanieli Senje

kaka elia Mhenga, mwenyekitu wa kamati ya kusifu na kuabudu aki simamia nyimbo zinazo rushwa moja kwa moja kwenye projecta.

Mgeni Rasmi ambaye pia ni mkurugenzi mkuu wa Muruwasa akihudumu kwa neno

 MCC kwaya kutoka TAG- Mzumbe wakihudumu



kings chour kutoka CAG -morogoro mjini wakihudumu


 kikundi cha TUKASA mzumbe chuo kikuu wakimsimfu Mungu

 IT-Bench dada Perazia akichukua matukio muhimu katika tamasha la kusifu na kuabudu

 Shughuli za ujasiriamali zili endelea wakati wa tamasha
 Baadhi ya wana USCF wakimtukuza Mungu katika tamasha


 kikundi alikwa kiki mtukuza Mungu

 meza kuu wakimwabudu Mungu

sehemu ya watu waliohudhuria katika tamasha hilo