Tuesday, March 31, 2015

IBADA YA FUNGUA SEMISTER ILIYOFANYIKA TAR.21/3/2015

MATUKIO KATIKA PICHA YA IBADA YA OPEN SEMISTER ILIYOFANYIKA TAG-MCC

praise and worship team wakimwabudu MUNGU
wana-casfeta waliofika katika ibada hiyo waki MWAZIMISHA  MUNGU



Ev. Lameck akihudumu kupitia neno la BWANA

Baadhi ya umati wa wana casfeta wakifatilia neno la MUNGU kwa karibu

 kaka Allan akiongoza ibada

Ev. na Mwalimu Michael akihudumu kwa neno la BWANA 


Uwepo wa BWANA ulikuwepo kuhudumia watu wake




EV. Amandus Sebastian akisema neno katika ibada hiyo

No comments:

Post a Comment