Saturday, April 2, 2016

CHAKWALE OUTREACH MISSION - Day 4

MATUKIO YA CHAKWALE OUTREACH MISSION - Day 4               09/03/2016


 Waongofu wapya wakifundishwa NENO LA MUNGU na Mwalimu Shalom, namna ya kuishi kwenye wokovu


 VOICE OF HEALING Choir wakimsifu Mungu katika Roho na Kweli


 Praise Celebration ziliendelea katika viwanja vya mkutano


 Mwinjilisti Theopista Mutajwa alihudumu siku hiyo

Umati wa watu waliofanikiwa kufika kwenye mkutano







 Wengi walimpokea Yesu kuwa BWANA na Mwokozi wa maisha yao




Wote waliowekewa mikono walifunguliwa kwa JINA LA YESU




Eneo la maombi (ICU) iliendelea na kazi kama kawaida na wote waliofika eneo hili walifunguliwa hakika kwa JINA LA YESU


No comments:

Post a Comment